Posts

Image
​ Sio kila spishi ina uwezo wa kucheka. Sokwe wanaweza kucheka. Wanasayansi hata wameza kubaini sauti kama ya kucheka kutoka kwa panya kwa kuwatekenya. Lakini ni binadamu na nyani wengine ambao wanachukuliwa kuwa pekee wenye uwezo wa kujibu kitu wanachokiona kwa kucheka. Ingawa ni ishara ya kuwa na wakati mzuri wa zamani, kucheka vizuri ni mojawapo ya mambo magumu zaidi ambayo miili yetu hutoa. Hii ndio sababu. Yote huanzia kwenye ubongo Hatuchagui kucheka. Hata kama umelipa ili kutazama vichekesho kutoka kwa mcheshi unayempenda, kwa hakika tunacheza k amari. Ikiwa tutacheka kwa mzaha wakati wa onesho, sio hiari, ni kulingana na jinsi ubongo wetu huchakata kile tunachoona na kusikia. Ni vigumu sana kuigiza kucheka au kulazimisha kucheka - jaribu mwenyewe. Haisikiki kuwa ya kweli, sivyo?
​https://trc.taboola.com/newscorpau-aud-newscomau/log/3/click?pi=%2Fsport%2Fsports-life%2Fbody-building-legend-cedric-mcmillan-dead-at-age-44%2Fnews-story%2Fadece0497492e79073a64f3c0c8b03df&ri=97bcdb5080bfc153f0eca6cf2c8f75d4&sd=v2_e437132e643b4109519696d048f78b2f_9012f80d-8b61-43e8-ae36-629cf3a49e64-tuct90a6624_1649930185_1649930185_CAwQru9HGIjNgryCMCABKAMw3QE4pt0NQIqfEEjbhtgDUP___________wFYAGCvAWiu3KSVzo6_iu0BcAE&ui=9012f80d-8b61-43e8-ae36-629cf3a49e64-tuct90a6624&it=text&ii=~~V1~~1227579325638447304~~i3YaQPs4n_T3DeafP9L_hnqXs-wPqN9cHgoAXZt5XrnTxvAnL2wqac4MyzR7uD46gj3kUkbS3FhelBtnsiJV6MhkDZRZzzIqDobN6rWmCPA3hYz5D3PLat6nhIftiT1lwdxwdlxkeV_Mfb3eos_TQavImGhxk0e7psNAZxHJ9RIzBC8nr0z12hiSGPC9ejfh2TeNkRUrhhz01lXm8YTtLPJpwqBWpKlES65QO1bsxZL5FxGQ4xos3Z-VFt1Wcp2VjxfAtsj75Zm6PzSBS4yNyd3WkhT22z-2tGiQiFNttdM&pt=text&li=rbox-t2v&sig=6a0e3ec6200229680eb6b85bb3c56fd2393d9232d1da&redir=https%3A%2F%2Fy-jesus.com%2Flp%2F0-real-jesus-ttn%2F%3Futm_source%3Dtaboola%26u...

Akatwa mguu kisa mapenzi

Image
​#MsasaUpdate AKATWA MGUU KWA SABABU YA MAPENZI  Kutoka kata ya Madilu, Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe Kijana aitwae Benard Mkolwe amepigwa na kuvunjwa mikono na miguu baada ya kukutwa akiwa na Sarah Mgohole (18) nyumbani kwao ambako alimfuata kwa lengo la kufanya mapenzi ikiwa ni siku yao ya kwanza tangu waanze uhusiano wiki mbili zilizopita. Kijana huyo amekiri kuwa na uhusiano na Msichana huyo ambaye sio Mke wa Mtu na wala hasomi na kudai kuwa mapenzi yao yalikuwa ya kuwasiliana kwa simu pekee na yana muda wa wiki mbili toka wayaanzishe ambapo siku ya tukio hilo ilikuwa ni siku yao ya kwanza kukutana kwa lengo la kufanya mapenzi. "Waliofanya tukio ni Baba zake wadogo wa yule Msichana yule Msichana na sijawahi kufanya kitu chochote kile tulikuwa ni marafiki wa kuchati na ile siku alivoniita nahisi ndio ilikuwa siku ya kuelekea kwenye tendo lakini sikufanya kitu chochote" Benard Mkolwe Kwa sasa Mkolwe anatibiwa katika hospitali ya St. John's ambapo Mkuu wa wilaya ya Lude...

Uhuni

Image
​kwa sasa ni kufanyiana uhuni tu tizama hii alafu tukizungumzia wataalamu wa mitandao na kazi zao ni kuwa na ulinzi ili kuzuia kutokea kwa ishu kama hizi this is cyber crime      unajua taasisi kubwa ya kifedha kutumiwa logo yake tofauti na kazi wanazoziendesha wao ni kutafuta kupoteza wateja  sijajua ni nani wahusika hasa katika hili kutumia logo ya kampuni kufanya ishu za kutaka kujaribu kuwaibia raia ni kosa kubwa sana  na wahuni wapo kusapoti hili    ok tuachane na hiyo taasisi naona kama serikali imeruhusu wananchi wake waibiwe hivi nimefikiria tu why pesa ya nchi itumike kufanya scam huu ni uhuni ulioruhusiwa na taasisi husika ..   kwa kujua mimi ninavyojua fedha ni moja ya viwakilishi vya taifa fulani now dai kila mahali unakuta picha ya fedha imetumika kutapeli watu some time vijana wengi ni jobless huitaji fedha kukidhi mahitaji yao au mitaji wapoona picha hizo wana deal moja kwamoja ili wapate kumbe ni upotezaji wa muda tu    O...

Paaaaaap......!!! Mzigo huo hapo

Image
​mzigo mpya kutoka katika maganda yake kuuza odds zisizo eleweka sitaki  ofa hii inakuja kwa wewe kushare tu hii blog mic daniel mdadavuzi wa timu mbalimbali nafanya haya kwa utukufu wa Mungu i know what i did natumia akili na bando share hii watu wapate ya mboga ya jioni ukiweka dau nono ushindi mnono ukiliwa usinijue saana  mimi sichezi ukipewa ongeza na zako 0748366111

WEKA BIASHARA YAKO YA KIMTANDAO IWE YA KUVUTIA WEKA LOGO YA KUELEWEKA

Image
​ YAH.. Tunacreate logo za staili tofauti tofauti tunakuuzia kwa bri sawa na buree kabisa pia tunafanya kazi za kucreate posti za kuvutia zitakazofanya eitha blog yako au kazi yako kuwa ya kifanisi na kuvutia zaidi       contact... 0748366111 0621335336 email Dullade8@gmail.com mic daniel

Hot.... Mpya

Image
​ hii hapa imeletwa kwenu na mimi mic danie 0716366110 toa  galatasaray kunusuru pesa yako nimemaliza like share